Sunday, February 28, 2010

LUV SMS




1. Nashukuru kwa miguno uliyonipatia na kiuno kunikatia, utamu niliousikia
nilitamani kulia hatima ilipowadia , nakupenda dia usije utamu wangu mwingine
kumpatia! Luv u

2. Wikiendi ndiyo imeisha, majukumu hatunabudi kuyatimiza dear, kuwa nawe muda mrefu
nimefurahia nakujihisi malkia katika hii dunia kuwa nawe najivunia. Luv u

3. Giza ndiyo laingia natamani ungekuwepo nipate kukumbatia, hakika nimechoka mto
kukumbatia nakukesha ndotoni nikikufikiria, nakumiss dear fanya hima nyumbani
kujongea wazazi wapate kukutambua! Nakupenda dear

4. Hakika najutia kwa mambo unayonifanyia, nilijitoa kwa moyo wote na mwili wangu
kukuachia chochote utakacho kunifanyia ruhusa nilikupatia nikiamini utatulia
kumbe kunichezea ilikuwa yako nia, umetimiza sasa waniringia. Asante na Mungu
atanisaidia , kilio changu tena hutosikia . Stay blessed

5. Hakika raha wajua kunipatia, fimbo wajua kuitumia sharti mtoto wakike nabaki
nagugumia kwa raha unayonipatia ambayo wengi wanaililia , plz utamu wangu
nitunzie!

6. Uko wapi wangu malkia, mwenzio hamu nasikia nawe ndiye ujuwaye hamu kunitoa,
tafadhali dear upatapo msg hii tambua nyumbani nakusubiria! Luv u

7. Nisamehe la azizi ukweli mbona uko wazi, yule si wangu mpenzi ila ni rafiki yangu
kipenzi, yangu mapenzi ni wewe pekee nayekupa mpenzi, katika hii dunia ni wewe
pekee penzi nayekupatia!

8. Jamani msg huwezi kunitumia, hata bipu nipate jua rohoni nimekuingia, ila ukata
umekuingia. U hali gani dia?

9. Hakika nakuhurumia kwa msiba uliokukumba, lakini kumbuka mwenzetu ametangulia
nasi tutafuatia, hakuna haja ya kulia bali ahitaji kuombewa. Mungu akutie nguvu!

10. Mpenzi mbona mapenzi yetu kama yanapoteza dira, kila siku huishi hila, kitu
kidogo wafura hasira. Wanichanganya dia!

11. Nina huzuni moyoni sijui kwa kuwa siku hizi sikuoni, naishia kukuota ndotoni,
hivi kweli nipo kwako moyoni? Nakupenda

12. Mahaba unayonipa natamani niwe nawe mpaka kufa, kila siku zinavyozidi kupita
najuta kwanini nilichelewa penzi kukupa, nakupenda na nitakupenda hadi kufa!

13. Asubuhi imefika ni muda wa kujiandaa na pilika, lakini kazini ukifika isisahau
kutumia japo nusu dakika rafiki zako salamu kuwapa, swawabu utapata! Asubuhi
njema.

14. Najua una majonzi kwa kuwa uliyempenda kakumwaga machozi kwa kukuacha ungali
walihitaji penzi lake, nimekuja mwokozi kukufuta machozi kwakukupa la dhati
penzi. Nakupenda mpenzi amini sitalimwaga lako chozi, na daima nitakuenzi.

15. Hivi ni lini penzi utanipa, nimechoka na ahadi unazonipa kila kunapokucha,
tambua kwako nimefika na siku utakayonipa zawadi nzuri nitakupa na hutanisahau
hadi kufa.

Luv sms Bombaaaaaaaaa!!!






1. Naijutia nafsi yangu kukupenda kwanini nilikutamkia na penzi nikakupatia, najiona mwenye hatia kukufunulia nikiamini mahaba na mapenzi ya dhati utanipatia lakini siku zinavyozidi jongea nahisi muda wangu wanipotezea, nahitaji kujua nini baina yetu kinaendelea?

2. Hivi ni lini utanipa nipate farijika mpenzi nimechoka na hadithi kila siku unazonipa ipo siku penzi utanipa, mwenzio nataabika na hamu iliyotukuka, nitafurahi ukinipa nipate liwazika, naomba uhakika kama kweli wikiendi utanipa, Nakupenda

3. Mahaba unayonipa hakika nafarijika, mpenzi niliyemtaka hakika nimekupata, kiu yangu wajua kuikata, kuwa nawe hakika nimeukata kwani wajua kunipa bata! Luv u, mwaah

4. Uliposema wanipenda sikuamini ipo siu utaja nitenda!, nilikueleza nini napenda nawe ukaapa yote kutenda kwakuwa wanipenda, leo umebadirika waanza nitenda, hivi kweli bado wanipenda??

5. Hivi kweli haya ndiyo mapenzi ama naota njozi? Nimefanya kila naloweza kuliimarisha letu penzi lakini naishia kuambulia majonzi, nimekuwa mtu wa kububujikwa na machozi kwa sababu ya lako penzi, kama nimekukosea tafadhali niwie radhi mpenzi, nakupenda na amini wewe pekee ndiye uliyetimiza ndoto yangu ya mapenzi.

6. Ulipolihitaji langu penzi ulidiriki hata kulimwaga chozi leo umepata langu penzi waniletea pozi, siwezi lazimisha penzi pasipo na penzi, amini nilikupenda ila nimeshindwa na zako pozi, nakutakia maisha mema na huyo wako mpya mpenzi. Be blessed..!!

7. Mpenzi tambua wewe ndiye sababu ya huu usingizi, najilaza kwa pozi nikiamini tutakutana kwenye njozi, njozi za kulienzi letu penzi, Nakupenda mpenzi, gn mwaaah…!!


LUV SMS BOMBAAAA

1. Hakika uliuteka moyo wangu, nikaamini u wangu peke yangu, nikaziba masikio yangu yote niliyoambiwa na rafiki zangu, kumbe naidanganya nafsi yangu. Its over baby!

2. Tangu nilipokufunulia pozi waniletea, mawasiliano yamepotea na kila tupangapo mihadi kwako huwa ngumu kutokea, niweke wazi nijue kama ndiyo mwisho wa penzi letu

3. Hakika mpenzi nimechoka kuvumilia kila siku naishia utamu kuuckilizia njozini unaponijia, najiuliza lini utanivulia niachane na ndoto tele ndotoni zinazonijia?

4. Hivi ni kosa gani nilililokutendea ambalo sipaswi kusamehewa? Ni kweli nilikosea nahitaji kusamehewa mpenzi, plz naomba nielewe kwani sina mwingine zaidi yako wewe. Luv u

5. Hivi kwanini kila siku mimi nimekuwa mtu wa majonzi, niliamini we ndiye wakunifuta machozi kumbe zilikuwa njozi, siamini kama umeniongezea majonzi, asante sana mpnz!

LOVE MESSEGES







2009 mwaka ndiyo huo umekwisha, mpenzi mola katuwezesha 2010 kutuonyesha nasi hatuna budi penzi letu kulidumisha, nakupenda na katu sitakutenda kwa mahaba matamu unayonilisha!

Hakika kuwa nawe nimefarijika, machozi yaliyokuwa yakinibubujika na machungu na makovu moyoni yaliyogubikwa yamefutia kwa mapenzi unayonipa, hakika nafarijika amini kwako nimefika kwa wengine katu sitapapalika!

Mpenzi najua umbali na upeo wa macho yangu, lakini nakuomba nitunzie mali zangu na katu usimpe mtu hizo zabibu zangu, amini daima u mawazoni mwangu, amini umeyapa thamani maisha yangu, nakupenda!

Kina napokumbuka miguno uliyonipa nabaki naweweseka, kiuno ulivyokata utamu maradufu uliongezeka, lavubiti uliyoniweka nikiitazama akili yanitoweka, nakupenda mpenzi utamu wangu kwa mwingine usije peleka!

Mara ya kwanza nilipokuona mwili ulinisisimka, nguvu ukaniisha maneno mdomoni yalitaka kunitoka lakini ghafla yalitoweka, tabasamu nikakuachia pale uliponikaribia, salamu uliponipatia nikazidi kuchanganyikiwa kwa sauti niliyoisikia, leo msg nakuandikia ukweli kukupasulia, nakupenda my dear!

Sielewi kwanini wanibania, ni muda mwingi nimengojea huruma kuonewa utamu kupewa lakini naishia maneno matamu kupewa na ahadi kupatiwa kuwa ipo siku nitapewa, nimechoka kungojea ukweli nataka kupewa kama penzi nitapewa au muda napotezewa!

Uliponifuata kwa mara ya kwanza na maneno matamu yaliojaa huba na uso wenye bashasha, shaka sikupata nikaamini mwanaume nimepata, ulichotaka sasa umepata chamoto nakipata, mawasiliano yamekata, asante sana wewe kaka.

Usiku mzima nimelala nikiweweseka kila maneno yako napoyakumbuka, siamini hivi leo umenigeuka, ahadi zote tulizoziweka leo wataka toweka, mapenzi moto niliyokupatia na kutwa hukuisha nisifia kwa ujuzi naokupatia leo wataka nikimbia, please dear usiniache mkiwa sema chochote nitakupatia!

Mchana umewadia wangu malkia hakikisha kitu kinywani chaingia, usiache hata kama kazi zimekuzidia kwani matatizo utakuwa wajitafutia, vidonda vya tumbo nafasi kuvipatia, nakupenda my dear please niliyokueleza zingatia!

Siamini macho yangu, nilikupa ruhusa ya kuufanya chochote mwili wangu, nikakupa hadi visivyohadithika, lakini mwanaume bado huonyeshi kutosheka, kila shimo wataka kuloweka, nakuombea heri na hao wenzangu mi’ niache na maisha yangu!

Hakika nimefarijika kwaraha jana ulizonipa, moyoni najiuliza ni mimi pekee raha hizi nayezipata? Tafadhali niondolee mashaka, akili yangu imewaka, wivu umenishika na mwili watetemeka! Nakupenda hny.

c)Brazatk 2010
Haki zote zimehifadhiwa hairuhusiwi kunakili kazi hii na kuitumia kwa shughuli za biashara kama kuchapisha kwenye magazeti, vijarida vya mapenzi au kutumia kwa namna yoyote ile yakujiingizia kipato bila kuwasilian na blog host!

LOVE MSG





U hali gani la azizi unayeninyima usingizi maana huishi kunijia kwenye zangu njozi, naamini wikiendi hii hutaniletea zako pozi, utanipa hilo lako penzi, nakupende ewe wangu mpenzi!

Tambua wewe ndiye wangu malkia na hakuna mwingine katika hii dunia ninayemfia zaidi yako, binti umeumbika na una kila sifa, hakika kwako nimefika!

najua moyo wako unasita penzi lako kunipa, lakini nataka uelewe fika mimi kwako nimefika,haya si maneno yakusadikika bali ni yauhakika! Nakupenda na daima nitakuenzi!

Msg nzuri nakuandikia kwakuwa nyimbo nzuri siwezi kukuimbia, maneno ninayokuandikia nataka moyoni yakuingie, nakupenda ewe wangu waridi uliyenitoa kwenye ulimwengu wa baridi! Mmmmh mwaah

Hpa nilipo machozi yanidondoka, moyoni ninajuta penzi langu kukupa, kila napokumbuka jinsi ulivyonipa hakika mapenzi ya dhati kunipa, simu kunipigia kila dakika sasa penzi nimekupa uko bize kila dakika!

Wikiendi ndyo imefika watu wajipanga kuburudika, wiki nzima tulikuwa kwenye pilika na sasa muda muafaka umefika mimi nawe kufarijika kwa raha kujipa,usikose nyumbani kufika!

Salamu yako imefika nashukuru kwakunikumbuka, moyoni nimefarijika kupata salamu toka kwako binti uliyeumbika, asante sana kwakunikumbuka!

Tuesday, February 23, 2010

LOVE


--------------------------------------------------------------------------------
--------------------------------------------------------------------------------

We love ourselves even after doing many mistakes. Then how can we hate

others for their one mistake. Think before you hate someone or hate

yourself.



The greatest advantage of speaking the truth is that you don't have to

remember what you said.



If your eyes are positive you would like all the people in the world.

But if your tongue is positive all the people in the world like you.



Life is about the art of drawing without an eraser, so be careful while

taking decisions about the most valuable pages of your life.



I met money and said why everyone runs behind you, you are just a piece

of paper. Money smiled and said of-course I am just a piece of paper, but

I haven't seen a dustbin yet in my whole life.



Life is like a coin. Pleasure and Pain are the two sides. Only one side is visible at a time. But remember other side is also waiting for it's turn.



If you like someone, show it. It will be sweeter then telling. But if you don't like someone. Just tell it. It will be less painful then showing it.



Love doesn't start in morning & end in evening. It starts when you don't

need it & ends when you need it most.



What's greater then mom's love? Which pillow is better then Mom’S lap?

Which company's better then friends? There are some things in life with no

substitutes. Love them forever.



A cute story: A man daily sent a rose to his wife. One day he died, but

his wife still received roses. She asked the floweriest. He said, your

husband paid advance for your whole life. Moral: Love someone forever



A boy loved a girl so much. One day he proposed her. But she refused.

Still he was not sad. His friends asked him, didn't you feel bad? He said, why should I feel? I lost the one who never loved me. But she lost the one who really loves her

Friday, February 19, 2010

9 Things I Hate





1. People who point at their wrist while asking for the time.... I know where my watch is pal, where the hell is yours? Do I point at my crotch when I ask where the toilet is?



2 People who are willing to get off their ass to search the entire room for the T.V. remote because they refuse to walk to the T.V. and change the channel manually.


3 When people say "Oh you just want to have your cake and eat it too". Damn right! What good is cake if you can't eat it?


4 When people say "it's always the last place you look". Of course it is. Why the hell would you keep looking after you've found it? Do people do this? Who and where are they? Gonna Kick their asses!


5 When people say while watching a film "did you see that?". No Loser, I paid $12 to come to the cinema and stare at the damn floor.


6 People who ask "Can I ask you a question?".... Didn't really give me a choice there, did ya sunshine?

7. When something is 'new and improved!'. Which is it? If it's new, then there has never been anything before it. If it's an improvement, then there must have been something before it, couldn't be new.


8 When people say "life is short". What the hell?? Life is the longest damn thing anyone ever does!! What can you do that's longer?


9 When you are waiting for the bus and someone asks "Has the bus come yet?". If the bus came would I be standing here, dumbass?

I'm here for you !!!




♥If one day u feel like crying♥
♥Call me♥
♥I dont promise that i will make u laugh♥
♥But i can cry with u♥

♥If one day u want to run away♥
♥Dont be afraid to call me♥
♥I dont promise to ask u to stop♥
♥But i can run with u♥


♥If one day u dont want to listen to anyone♥
♥Call me♥

♥I promise to be there for u but also promise to remain quiet♥
♥But one day if u call♥
♥And there is no anwser♥
♥Come fast to see me♥
♥Perhaps i need you♥


♥Send this to all your friends, no matter how often you talk♥
♥Or how close you are♥

♥And send it to the person who sent it to you♥

♥Let old friends know you haven't forgotten them, and tell new friends you never will♥
♥Remember, everyone needs a friend,♥
♥dont ever leave the one u love for the one u like♥
♥Because the one u like will leave u for the one they love♥
♥If u get this it means the person who sent it truly cares about u♥
really

Tuesday, February 9, 2010

SWEET sms

you must be a good runner because you are
always running in my mind,
you must be a good thief because you have stolen my heart,
and i am always a bad shooter because I Miss you Always...

*****************

Never change your originality for the sake of others
becoz it is your world & none can play your role better than you in this world so be your self.

*****************

Dreaming of you makez my nite worth while.
Thinking of you makez me Smyle.
Having you is the best thing ever n
Loving you is what I plan to do forever
The best and most beautiful things in the world can not be seen, nor touched but are felt in the heart.

I know things have to be the way they are
yet my heart longs for more
you have touched my life in ways
it has never been touched before.

Sunday, February 7, 2010

This is not MY BMW

Saturday, February 6, 2010

LOVE SMS kwa kiswahili

LOVE SMS
Sijui nikuekleza namna gani uelewe yaliyionijaa moyoni kwani kila nifikiriapo kwanini una walakini na hutaki kuniamini kama wewe pekee ndiye ninayekupa mahaba yangu makini, mpenzi rudisha yako imani ni wewe pekee nayekupenda hapa duniani!

Moyoni naumia kila napofikiria yale uliyonitendea, sijui nini nilikukosea kama mapenzi ya dhati naamini nilikupatia na moyoni nilikuwa najivunia na kujiona zaidi ya mfalme katika hii dunia kumbe kiini macho ulikuwa wanifanyia leo najutia muda ulionipotezea, kumbuka nilikupenda!


Nakiri kweli nimekukosea naomba msamaha kwa yote yaliyotokea hakika nimekukwaza lakini kwa kuwa hii ni yangu mara ya kwanza naamini utanisamehe la azizi na kunipa nafasi yakulienzi lako penzi.

Mpenzi nimekumiss jamani, sipati meseji wala simu sijui kwanini, nikikumbuka tunayofanyaga kitandani, natamani ungekuwa nami pembeni nakunipa mahaba yasiyo kifani, nakupenda si utani hani.

Nimezunguka pande zote za Tanzania macho nikiangaza kumsaka mrembo wakumkabidhi yangu nafsi na kulila tunda lake kwa nafasi huku nikimpa mahaba yangu ya dhati na sikuwahi kuhisi kama wewe ndiye ungeiteka yangu nafsi, nakupenda sweetie.

Ni yangu mazoe kila siku simu yako kuipokea kama si meseji kunitumia leo naumia kila napofikiria nini kimetokea hadi mawasiliano yetu yanaanza kupotea, enewei naamini hali ya kawaida itarejea na majonzi moyoni yatanipotea. Nakupenda la azizi.

Nina habari nzuri nataka kukwambia kuna mgeni leo kaja kunitembelea nguo nyekundu amevalia yaani utamu wako kwa sasa siwezi kukupatia maana mgeni huyu kashakuharibia, nakupenda dear.

U hali gani? Naamini mawazoni mwako upo nami japo yaweza kuwa hakuna ukweli wowote ndani, lakini nataka uamini kuwa umekuwa nami mawazoni japo sijawahi kukuona machoni.

Nakutakia kila la kheri katika maisha yako ya ndoa, wengi watakwambia maneno kila kukicha, lakini nakwambia wapo ambao kwa hakika watakaokuwa wamelenga kuitia doa yako ndoa, hangera rafiki yangu kipenzi kwani wengi wanaitamani ndoa lakini hawajapata wakuwaoa.

Mimi ni mzima japo si lazima kujua kama ni mzima lakini nachotaka kusema nashukuru Mungu kwakunijalia uzima na ni yangu matumaini u mzima na umejaa matumaini, mchana mwema.

God gave us two ears to hear

God gave us two ears to hear, two eyes to see and two hands to hold. But why did God give us only one heart? Because he wants us to find the other one.

Sweet as a rose bud bright as a star cute as a kitten thats what u are.bundles of joy
sunshine and fun you are everything i luv all rolled into 1

Thought of u 2day,dats not new,thought of u yesterday + da day b4 2, ill think of u
2mor + my whole life thru & ill think of u 4eva coz i think da world of U

I have liked many but loved very few.yet no-one has been as sweet as u.I'd stand
and wait in the worlds longest queue.just for the pleasure of a moment with u.

A special smile a special face.a special someone i cant replace.i luv u i always will.uve
filled a space no one can fill!

Girl ur clever girl ur smart.girl ur like a work of art.girl ur sexy girl ur fine.d only thing
u aint is mine!

i luv ur eyes i luv ur smile.i cherish ur ways i adore ur style.Wot can i say?ur 1of a
kind & 24/7 ur on my mind!

As I lie awake in my bed.All sorts of thought run through my head,Like why do I love
u as much as I do.den I realise its because u r u!

there was an headcount of angels in heaven,pandemonium strucked discoverin dat an
angel is missin,pls call heaven &tell dem ure safe wit me,my sweet angel

I believe that God above created u for me to luv.he picked you out from all the rest
cos he knew id luv you the best!

I love so much my heart is sure.As time goes on I love you more,Your happy
smile.Your loving face No1 will ever take your place

Life in BUSH

Buy Palm wine and Ogogoro from Bush man
Posted by Picasa

Thursday, February 4, 2010

Posted by Picasa